Top
  • The United Republic of Tanzania

    Ministry of Natural Resources and Tourism

    Tanzania Forest Fund-TaFF

News and Events

DED MBOZI AISHUKURU TaFF KWA KUTOA RUZUKU YA VIFAA KWA VIKUNDI 10

Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Abdallah Nandonde ameushukuru Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) kwa kuwapatia ruzuku ya vifaa vikundi 10…

Read more

NEEC YATAMBUA MCHANGO NA UTENDAJI WA TaFF, YAIPATIA TUZO.

Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) imeshika nafasi ya pili katika  tuzo ya utendaji bora na Baraza la Taifa…

Read more

MFUKO WA MISITU TANZANIA UTASHIRIKI KIKAO KAZI CHA WENYEVITI NA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI ZA UMMA JIJINI ARUSHA

   Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Misitu Tanzania na Mtendaji Mkuu watashiriki kikao kazi cha Wenyeviti na Watendaji Wakuu…

Read more

KUELEKEA KILELE CHA MAONESHO YA NANE NANE MFUKO WA MISITU TANZANIA WASHIRIKI MAONESHO HAYO KITAIFA JIJINI MBEYA

Mtu Mrefu zaidi Tanzania, Bw. Julius Charles  ametembelea banda la Mfuko wa Misitu Tanzania lililopo katika viwanja vya maonesho ya Nanenae vya…

Read more

MFUKO WA MISITU TANZANIA WASHIRIKI MAONESHO YA NANENANE KITAIFA JIJINI MBEYA

Bw Juma Ally, Afisa Miradi akieleza shughuli zinazofanywa na Mfuko wa Misitu Tanzania mbele ya Mdau katika Viwanja vya Maonesho ya Nanenane Kitaifa…

Read more

Dhamira ya Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) ni kuhakikisha upatikanaji wa fedha na kuwezesha na kugharamia ulinzi, uhifadhi, usimamizi, uendelezaji na matumizi endelevu ya rasilimali misitu hapa nchin

Dhamira ya Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) ni kuhakikisha upatikanaji wa fedha na kuwezesha  na kugharamia ulinzi, uhifadhi, usimamizi,…

Read more