Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MFUKO WA MISITU TANZANIA(TaFF)

Zawadi kwa Katibu Tawala

Imewekwa: 18 December, 2024
Zawadi kwa Katibu Tawala

Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Misitu Tanzania akipokea zawadi kutoka kwa Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, Waziri wa Maliasili na Utalii kutambua mchango wa Mfuko wa Misitu Tanzania katika kuwezesha ufugaji nyuki nchini.