Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MFUKO WA MISITU TANZANIA(TaFF)

Maeneo ya Kipaumbele

Maeneo ya Kipaumbele 

  1. Uhifadhi, Usimamizi na Uendelezaji wa rasilimali misitu.
  2. Uboreshaji wa maisha ya jamii zinazoishi pembezoni mwa misitu hususani miradi inayohusiana na ufugaji nyuki.
  3. Utafiti unaolenga kuboresha uhifadhi, usimamizi na uendelezaji wa rasilimali misitu.
  4. Kujenga uwezo wa Taasisi za Serikali za mafunzo na utafiti.