Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MFUKO WA MISITU TANZANIA(TaFF)

MAFUNZO KWA WANUFAIKA WAPYA WA RUZUKU

Imewekwa: 10 April, 2025
MAFUNZO KWA WANUFAIKA WAPYA WA RUZUKU
<p>Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) umefanya mafunzo kwa wanufaika wapya wa ruzuku kwa lengo la kujengea uelewa wa utekelezaji wa mradi wa ruzuku. Katika mafunzo hayo wanufaika wamefundishwa juu ya:</p> <ul> <li>Maelezo kwa ufupi kuhusu Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF)</li> <li>Kupitia vifungu vya mkataba wa utoaji ruzuku</li> <li>Namna ya kutaarisha/ kuandaa muktasari wa mradi</li> <li>Namna ya kutayarisha / kuandaa taarifa ya maendeleo ya utekelezaji wa mradi</li> <li>Namna ya kutayarishwa / kuanza taarifa ya matumizi ya fedha za ruzuku</li> <li>Aina ya stakabadhi / risiti zinazohitajika kufanyia marejesho ya matumizi ya fedha za ruzuku</li> <li>Kupitia rasimu za mikataba</li> </ul>