Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Misitu Tanzania ikiongozwa na Mwenyekiti Bodi hiyo Prof. Shabani A. Chamsama wametembelea Shamba la Miti Silayo kwa Lengo la Kukagua Utekelezaji wa Thamani ya Fedha za Ruzuku Zilizotolewa na Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) kwa Lengo la Kuanzisha na Kuendeleza Shamba Hilo Wilayani Chato Mkoani Geita tarehe 07 Mei, 2023.
Kwa picha zaidi tembelea: https://www.mfukowamisitu.go.tz/index.php/resources/photos